Habari kuhusu Majanga
Nzige Wavamia Mji Mkuu wa Madagaska
#valala pic.twitter.com/YHzOx5Q8QU — Vaintche Rahouli (@vincraholi) Agosti 28, 2014 Watumiaji-mtandao wa Twita na Facebook kutoka mji mkuu wa Madagaska, Antananarivo, wamepachika picha kadhaa za nzige wakivamia mji. Uvamizi wa nzige sio tukio la ajabu nchini Madagaska, hasa baada ya dhoruba za kitropiki, lakini sio kawaida katika miji mikubwa. Nzige wanaweza...
Video Ioneshayo Mtoto Akiokolewa Kutoka Kwenye Kifusi cha Jengo Lililolipuliwa kwa Bomu Nchini Syria
Bomu lililaharibu makazi ya Ghina na kupelekea kifo cha mama yake. Aliweza kuokolewa akiwa hai pamoja na kufukiwa na kifusi akiwa peke yake.
Watu 12 Hufa na Waniger 27,000 Huachwa Bila Makazi Kutokana na Mafuriko
Mvua kubwa na mafuriko nchini Niger yamewaua watu 12 na kuacha maelfu bila makazi. Mito katika Niamey na maeneo ya karibu imefurika na kuharibu maelfu ya nyumba. Katika kanda, uharibifu wa ardhi na kilimo pembezoni mwa ardhi huzidisha hatari ya kwamba matukio yaliyokithiri yanaweza kubadilika kuwa maafa ya asili. Baadhi ya...
Hali ya Kusikitisha Katika Kituo cha Magarimoshi cha Mumbai
Mwanablogu Antarik Anwesan anaelezea hali halisi ya kile kinachoendelea katika kituo cha magarimoshi cha Goregaon kilichopo Mumbai, India. Gari moshi lifanyalo safari za ndani liliondoka kituoni bila ya kutoa taarifa wakati abiria walipokuwa wakiharakisha kuingia. Kadri ya garimoshi lilivyoongeza mwendo, watu wawili walianguka kupitia mlangoni, chupuchupu kupoteza maisha. Taarifa ya...
Picha za Mabaki ya Ndege ya Shirika la Algeria AH5017 Nchini Mali Yaonyesha Ghasia, Kuanguka kwa Ghafla
VERY FIRST images of #AH5017 #AirAlgerie trickling out, via @AirLiveNet http://t.co/4pKox7rgjn pic.twitter.com/rngGTv7Rbs — Jason Morrell (@CNNJason) July 25, 2014 PICHA ZA KWANZA za ndege ya AH5017 ya Shirika la Ndege la Algeria ikianguka, kupitia @AirLiveNet Kipande cha kwanza cha video cha ajali ya ndege sasa kinapatikana. Tunamshukuru mwanajeshi wa Burkina...
Televisheni ya Taifa Urusi Yahariri Wikipedia Kuibebesha Ukraine Lawama kwa Kuanguka MH17
Mtu mmoja wa televisheni ya Taifa Urus, VGTRK, amehariri makala ya kamusi elezo ya Wikipedia kuhusu kuanguka kwa ndege ya Malaysia MH17 ili kuibebesha Kyiv lawama.
Je, Ujumbe wa Shirika la Ndege la Singapore Baada ya Ndege MH17 Kuanguka Haukuwa wa Kiugwana??
Baada ya habari kufahamika kwamba ndege ya Shirika la Ndege la Malaysia MH17 imeanguka mashariki mwa Ukraine, Shirika la Ndege la Singapore liliweka ujumbe huu kwenye mtandao wa Facebook na Twita: Customers may wish to note that Singapore Airlines flights are not using Ukraine airspace. — Singapore Airlines (@SingaporeAir) July...
Matamshi Matano ya Kushangaza Kufuatia Kuanguka kwa Ndege MH17 Nchini Ukraine
Wakati kukiwa na hisia zinazozidi kuongezeka kufuatia kuanguka kwa ndege nchi Ukraine, matamshi kadhaa yaliyotolewa na watu maarufu Moscow na Donetsk yamevuta hisia za watu
Wamalaysia kwenye Ndege MH17 Iliyoanguka: “Bila Kujali Utaifa, Tuko Pamoja Kuomboleza””
Ndege ya Shirika la Malaysia MH17, iliyokuwa ikisafiri kutoka Amsterdam kwenda Kuala Lumpur, imeanguka mashariiki mwa Ukraine Alhamisi jioni. Ndege hiyo ilikuwa na abiria 298 pamoja na wafanyakazi
Mitandao ya Kijamii Yasaidia Kuikoa Côte d'Ivoire Iliyokumbwa na Mafuriko
Abidjan na maeneo mengine ya Côte d'Ivoire yamekumbwa na mafuriko makubwa katika majuma kadhaa yaliyopita [fr]. Wakazi wa maeneo husika walijipanga kwenye mitandao ya kijamii ili kusaidia namna ya kuwaokoa wananchi waliokuwa wamekwama kwenye janga hilo. Kwenye mtandao wa twita na facebook, #CIVSOCIAL ilikuwa ni alama ishara iliyokuwa ikitumika kwa...