· Oktoba, 2013

Habari kuhusu Uandishi wa Habari za Kiraia kutoka Oktoba, 2013

Wali Unaonata Haufai kwa Watoto, Akina Mama Waambiwa

  7 Oktoba 2013

@LaotianMama anawakumbusha akina mama wa Lao kutokuwalisha watoto wenye njaa wali unaonata ambao ni chakula cha asili kwao. Wali unaonata kwa watoto wachanga ni sawa na punje za wali katika utamaduni wa ki-Magharibi. Wazo ni lile lile kuwa kuwapa watoto wachanga chakula kigumu kutawashibisha. Kwa hiyo, kuwaanzishia watoto wachanga chakula...

Masuala Matano ambayo Raia wa Brunei Wanahitaji Kuyajadili

  7 Oktoba 2013

Teah Abdullah anaorodhesha masuala matano ambayo raia wa Brunei citizens wanahitaji kuyajadili: Kuimarisha lugha halisi, ngono baina ya ndugu wa damu, maisha ya anasa, ulaji unaozidi kiwango wa “baga” [aina ya mandazi yenye nyama], utegemezi uliopitiliza kwa serikali. Anafafanua kwenye suala la mwisho: …serikali ni sehemu muhimu katika maisha yetu...

India: Saa Nzuri Kapata Huduma za Afya Hospitalini kwa Punguzo la Bei

  7 Oktoba 2013

Kamayani wa mtandao wa Kracktivist anasema kuwa dhana ya saa nzuri kupata punguzp la bei, ambayo ni maarufu sana kwenye vilabu vya pombe, mahotelini na hata kwenye majengo ya sinema, imeingia hadi kwenye sekta ya afya nchini India. Hospitali binafsi iliyoko Bangalore siku za hivi karibuni imekuwa ikitoa punguzo la...