· Disemba, 2012

Habari kuhusu Uandishi wa Habari za Kiraia kutoka Disemba, 2012

Maisha Binafsi ya Watawala Wapya wa China

Shirika la Habari la Xinhua lilichapisha[zh] mfululizo wa wasifu wa maisha binafsi ya watawala wa juu China, ikiwa ni pamoja na picha za familia zao, ambazo ni nadra sana katika...

27 Disemba 2012

Kupigia Kura Maajabu Saba ya Dunia barani Afrika

Shindano la kila mwaka limezinduliwa kwa ajili ya watu kupiga kura kuchagua maajabu saba yaliyo bora zaidi barani Afrika. Na tayari upigaji kura umeshaanza. Baadhi ya maajabu ya asili yaliondolewa katika orodha ya mwisho ya kupigiwa kura na hivyo baadhi ya wanablogu waliongeza mapendekezo yao katika blogu zao. Tazama baadhi ya picha hapa:

27 Disemba 2012

Ni Sikukuu ya Kuzaliwa Kristo (Noeli) Mjini Betlehemu

Ni sikukuu ya kuzaliwa Kristo mjini Betlehemu, katika ukanda wa Magharibi, Palestina, mahali alipozaliwa Yesu Kristo. Ni namna gani nzuri ya kusherehekea tukio hili zaidi ya kuwashirikisha picha na maoni mbalimbali ya watumiaji wa mtandao wa intaneti kuhusiana na tukio hili linalosherehekewa na mabilioni ya watu duniani kote.

25 Disemba 2012

Utambulisho wa Jamii ndogo ya Balkan

Waandishi vijana kumi na watano kutoka katika nchi zipatazo sita tofauti wametengeneza mfululizo wa masimulizi binafsi kuhusu masuala ya namna jamii zenye watu wachache (kwa mapana yake) zinavyoweza kuwakilishwa kutoka...

23 Disemba 2012

Mwanablogu wa Iran Sattar Beheshti Ateswa hadi Kufa

Watumiaji wa mtandao wa intaneti nchini Iran wameanzisha vurugu kubwa mtandaoni mara baada ya kupata habari ya kusikitisha ya kifo cha mwanablogu aliyefia rumande iliyowekwa mtandaoni kwa mara ya kwanza katika tovuti za upinzani. Sattar Beheshti alikamatwa mnamo tarehe 28, Oktoba 2012 na ilitangazwa kuwa amefariki takribani siku kumi baadae.

1 Disemba 2012