Habari kuhusu Censorship
Waganda Wafanya Maandamano ya Amani Mitaani kwa Kuchoshwa na Mauaji ya Wanawake
"Kwa hiyo naandamana, niwakumbuke, hawakupewa haki yoyote na hakuna aliyekamatwa kwa ajili ya vifo hivi vya kutisha. Lakini nawathamini."
Taarifa ya raia mtandaoni: Nani Atafuata? Mgogoro wa Kisiasa Venezuela Unaonesha Wimbi Jipya la Udhibiti, Ukandamizaji wa Vyombo vya Habari
Taarifa ya raia mtandaoni ya Advox inatoa picha ya haraka kimataifa juu ya changamoto, ushindi na mienendo inayoibuka katika haki za kimtandao duniani
Kufuatia Shinikizo la Vyombo vya Ulinzi, Fahari ya Beirut kwa Mwaka 2018 “Yaahirishwa kwa Muda”
"Kwa muda mrefu Lebanon imekuwa ikifahamika kwa kuheshimu tofauti miongoni mwa raia wake na imekuwa ikidai kuwa nchi ya raia wake WOTE, pamoja na tofauti zao."
Tovuti huru maarufu nchini Tanzania zafungwa kufuatia ‘kodi ya blogu’
"Hii sio tu ni leseni ya kujidhibiti mwenyewe lakini pia ni namna ya kuwa nyenzo ya serikali kuwafuatilia haki ya kiraia ya wengine (wachangiaji) kujieleza."
Ripoti ya Raia Mtandaoni: Sheria ya Uganda ya Kodi ya WhatsApp na Kadi za Simu Itafanya Iwe Vigumu Kuendelea kutumia Mtandao
Taarifa ya Watumiaji wa Mtandao inakuletea muhtasari wa changamoto, mafanikio na mambo yanayojitokeza kuhusiana na haki za Mtandao duniani kote.
Brazil Yatambulisha Kanuni Ngumu Dhidi ya ‘Habari Zisizo za Kweli’ Kuelekea Uchaguzi wa 2018
Kamati yenye wajumbe wanaotoka jeshini, polisi na idara ya Usalama ya Brazili itakuwa na kazi ya kufuatilia na ikibidi kutoa amri ya kufungiwa kwa habari za uongo kwenye mitandao ya kijamii.
Maandamano ya Nicaragua Yachochea Kufungwa kwa Vyombo vya Habari, Shambulizi la DDos na Mauaji ya Mwandishi wa Habari Angel Gahona
Ripoti ya Utetezi wa Raia wa mtandaoni inakuletea mkusanyiko wa changamoto, mafanikio na mwenendo wa matukio yanayojitokeza kuhusiana na haki za matumizi ya mtandao wa intaneti ulimwenguni kote.
Serikali ya Uganda Yapanga Kutoza Kodi Watumiaji wa Mitandao ya Kijamii kwa Kuendekeza Umbea
Uganda inataka kufaidika mahali ambapo haijawekeza. Wamiliki wa mitandao ya kijamii hutoa huduma bila kutoza kodi, wewe unataka walipe kodi?
Mwanahabari wa Mexico Aliyeuawa Cándido Ríos: ‘Silaha Zetu Hazirushi Risasi. Silaha Zetu Hurusha Ukweli’
"Juhudi zake zisizokoma za kulaani vitendo vinavyokiuka haki zilimfanya awe maarufu kwa wasomaji lakini pia maadui kama meya wa zamani wa mji wa Ríos aliyetishia kumwua mara kadhaa."
Mchora Vibonzo vya Kisiasa Nchini Malaysia Zunar Aishitaki Polisi Kwa Kumkamata Kinyume cha Sheria na Kushikilia Vitabu
"You can ban my books, you can ban my cartoons, but you cannot ban my mind. I will keep drawing until the last drop of my ink."