Habari kuhusu Censorship kutoka Disemba, 2018
Mamlaka za Iran Zawakamata ‘Watumiaji wa Instagram’ katika harakati za Kudhibiti Mitandao ya Kijamii

Mamlaka ya Irani yatangaza kuondoa Instagram kwa sababu ya maovu ya "watumiaji mashuhuri wa Instagram". Siku chache baadaye, shirika la utangazaji la serikali afichua kukamatwa kwa "watumiaji mashuhuri wa Instagram."
Kwanini Serikali za Afrika Zinapinga na Uhuru wa Vyombo vya Habari na Kutoa Maoni? Inawezekana Sababu ni Nguvu Kubwa Nyuma Yake

Kelele tunazopiga kwenye majukwaa ya kidijitali zinawaogopesha watawala kandamizi. Kuna visa kadhaa vya watawala kuchukua hatua kuzima kelele hizo.