Habari kuhusu Habari za Hivi Punde
Idadi Kubwa ya Raia Nchini Brazil Waungana na Kufanya Mgomo wa Kitaifa.
Waandamanaji wanashikilia msimamo kupinga mfululizo wa mabadiliko yanayolazimishwa na Rais wa Brazili Temer, mwenye wingi wa vitu vya wabunge na uungwaji mkono wa wafanyabiashara pamoja na kupoteza umaarufu wake.
Ajali ya Basi Yaua Makumi ya Watoto Kaskazini mwa Tanzania
Nchi hiyo ya Afrika Mashariki ina idadi kubwa ya ajali za barabarani barani Afrika.
Mwanablogu na Mwanaharakati wa Maldives Yameen Rasheed Auawa kwa Kuchomwa na Kitu chenye Ncha Kali
"Ile inayoitwa" Paradiso ya duniani haihakikishii raia wake usalama. Kesho inaweza kuwa ni mimi, wewe au yeyote miongoni mwetu," aliandika mtumiaji mmoja wa Facebook.
Kashfa Nyingine Yalikumba Kanisa la Orthodox la Nchini Urusi Kufuatia Kasisi Kuonekana na Saa Yenye Thamani ya $40,000
Kanisa la Orthodox la nchini Urusi limejikuta katika kashfa kwa mara nyingine, na kwa sasa kashfa hii inahusishwa na saa ya mkononi ya Kasisi mwandamizi wa St. Petersburg.
Urusi Inadaiwa Kuwa na Mpango wa Kuufungia Mtandao wa LinkedIn
LinkedIn, mtandao mkubwa zaidi unaowaunganisha wataalaam duniani kote, uko hatarini kufungiwa nchini Urusi, ambako wapelelezi wa serikali wamefanikiwa kuishawishi mahakama moja mjini Moscow kuufungia mtandao huo.
Mwanaharakati wa Haki za Binadamu na Kiongozi wa Jamii za Wazawa Berta Cáceres Auawa nchini Honduras
Baada ya miaka kadhaa ya uanaharakati wa masuala ya mazingira na kuzitetea jamii za wazawa, mtetezi nguli wa haki za binadamu Berta Caceres ameuawa nchini Honduras hii leo.
Kampeni ya ‘Alaa Aachiwe’ Yashika Kasi Mwaka Mmoja Baada ya Kufungwa Kwake
Alaa Abd El Fattah ametumikia mwaka mmoja kwa sababu ya uanaharakati wake. Amebakisha miaka minne. Watumiaji wa mitandao wanapiga kelele wanapoadhimisha mwaka mmoja wa kifungo chake wakidai aachiliwe huru.
Wasiwasi wa Usalama wa Mfungwa wa Syria, Aliyehamishwa Kwenda Kusikojulikana
Wanaharakati wanaitaka serikali ya Syria kumwachia huru mara moja mwanablogu mfungwa mwenye asili ya Syria na Palestina Bassel Khartabil (Safadi) baada ya kuhamishwa mapema leo kutoka kwenye gereza alilokuwepo kwenda kusikojulikana.
Baada ya Maandamano Burkina Faso na Burundi, Naija na Togo Zinafuata?
Wanaija 20,000 wameingia mitaani mjini Niamey, Naija mnamo Juni, 6. Kuna ababu nyingi za maandamano hayo: umaskini uliokithiri, utawala mbovu na kubanwa kwa uhuru wa kujieleza yakiwa ni moja wapo ya malalamiko ya asasi za kiraia nchini humo. Maandamano kama haya yalitokea katika nchi za Burkina Faso, Burundi na Togo....
Baada ya Miaka 33, Cuba Haipo Kwenye Orodha ya Marekani ya Nchi Zinazofadhili Ugaidi
Orodha hiyo, kwa mujibu wa Marekani, ni ya nchi ambazo zina kawaida ya kuwezesha vitendo vya ngazi ya kimataifa vilivyopangwa, na vyenye lengo la kupambana kisiasa na raia wasio na silaha.