Habari kuhusu Utamaduni
Mkimbizi na Mchora Vibonzo wa Korea Kaskazini Achora Kuhusu Maisha Yalivyo Kwa Watu Wanaotoroka
Akiwa mtoto, walimu walimsifu Choi Seong-guk kwa michoro yake ya wanajeshi wa Kimarekani ambapo anasema aliwafanya waonekane "wabaya na wakatili kadri ilivyowezekana."
Mizaha Inavyotumika Kuelewa Mapambano ya Puerto Rico na Washington
Mtandao wa Juice Media umehoji: Je, uko tayari kwa ukweli wa kiasi hiki?
Video ya Muziki Inayoigiza Utawala wa Junta Rule Nchini Thailand
Video huyo, ambayo bado ipo kwenye mtandao wa YouTube, imeenea kwa kasi mtandoani.
Mwanamuziki Anayeimba Nyimbo za Kupigania Haki Amechaguliwa Kuwa Mbunge Nchini Uganda
Bobi Wine azoea kuimba masuala ya kisera. Sasa amepata nafasi ya kutengeneza sera kama mbunge.
Wanamazingira wa Siberia Wachoshwa na Mamlaka za Nchini Kwao, Waomba Msaada Kwa Leonardo DiCaprio
In Krasnoyarsk, the third largest city in Siberia, local environmentalists have found their savior: Hollywood star Leonardo DiCaprio.
Wahindi Waomboleza Kifo cha Kishori Amonkar, Mmoja wa Waimbaji Wakubwa Wa Muziki Wa Jadi Nchini India
"Kuna sauti zenye uwezo wa kugusa hisia na Kishori Amonkar ndio sauti hiyo."
Salamu ya Siku ya Wajinga Kutoka Ubalozi wa Urusi
Tarehe 1 Aprili ni siku ya wajinga Duniani. Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi imekuja na mzaha wake.
Wakimbizi Nchini Marekani Wadumisha Tamaduni za Kimuziki kwa Nyimbo za Watoto
Msimuliaji wa hadidhi kwenye Kituo cha Makumbusho ya Sanaa cha Erie Art Museumkilicho kwenye jimbo la Pennsylvania, nchini Marekani alikuja na wazo: kuwasaidia wakimbizi kujifunza ujuzi wa kazi wakati akiwasaidia kukumbuka nyimbo zao.
Katika Kutafuta Haki, Mtumishi Huyu wa Kanisa Katoliki Ameandika Nyaraka Kuhusu Mauaji na Dawa za Kulevya Nchini Ufilipino
"Kama mwandishi mpiga picha, lazima uwe karibu na masikini, uelewe uhalisia wa maisha yao."
Simulizi la Shoga, Kijana Mweusi Aishiye Nje Kidogo ya Mji wa São Paulo, Aliyekuja kuwa Mtengeneza Filamu
"Siogopi kutengeneza video zangu na kuonesha sehemu ninayoweza kuiita nyumbani. Huu ndio ukweli wangu."