Makala haya ni sehemu ya mpango wa The Bridge, unaowawezesha waandishi wetu wa Global Voices kuandika maoni, uchambuzi na uchunguzi wao kwa mitazamo yao wenyewe

RSS

Habari kuhusu The Bridge kutoka Februari, 2022

Je Sera ya Lugha Tanzania inabagua lugha za asili?

Kuna takribani lugha 150 nchini Tanzania, lakini lugha ya Kisawhili imepewa upendeleo mkubwa, hasa katika muktadha wa elimu ya msingi. Wanazuoni Hannah Gibson (Chuo Kikuu cha Essex) na Gastor Mapunda (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam) wanatoa maoni yao kwa ufupi kuhusu hali hii kwa kutumia matokeo ya utafiti unaochunguza...