Habari kuhusu Matangazo
Jiandikishe Sasa kwa Mkutano wa Global Voices 2015: Januari 24-25 jijini Cebu, Ufilipino
Jiandikishe sasa kwa ajili ya Mkutano wa Global Voices 2015 jijini Cebu, Ufilipino, utakaokusanya wanaharakati na waandishi wa kiraia kutoka duniani kote.
Kutangaza Mkutano wa Global Voices, Dar es Salaam, Novemba 2, 2014
Mkutano wa kwanza unaowakutanisha waandishi na watafsiri wa Global Voices na wadau wa Uandishi wa Kiraia hapa nchini unafanyika Dar es Salaam, Tanzania
Ungana nasi kwa Mkutano wa Global Voices Tunis Novemba 1

Ungana nasi kwenye mkutano wa Global Voices nchini Tunis Novemba 1, 2014 kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 7 mchana kwenye Maabara ya 404.
Kutangaza Mkutano wa Global Voices 2015 Utakaofanyikia Cebu, Ufilipino, Januari 24–25!
Mkutano wa Uandishi wa Kiraia wa Global Voices utafanyika Januari 24-26, 2015 jijini Cebu, Ufilipino. Jiandae kupata habari kamili!
Wanajumuia wa Global Voices Washinda Tuzo za Knight News Challenge za Kuboresha Huduma ya Intaneti
Katika matokeo yaliyotangazwa hivi leo, wanajumuia wawili wa Global Voices waibuka washindi wa shindano la mwaka 2014 la Knight News Challenge.
Solana Larsen Aachia Ngazi kama Mhariri Mtendaji, Sahar Habib Ghazi Apokea Kijiti
Mabadiliko ya sura kwenye safu ya Uhariri. Mhariri Mtendaji Solana Larsen anapokelewa na aliyekuwa Naibu Mhariri, Sahar Habib Ghazi.
Global Voices na Connectas Watangaza Kushirikiana Maudhui
Global Voices itachapisha maudhui yanayoandikwa na CONNECTAS, mradi wa kiuandishi kwa Bara la Amerika Kusini uliopo nchini Columbia.
Misri, Palestina, China, India, Bangladesh, Ukraine Zashinda Katika Tuzo za Bobs
Washindi wa tuzo za The Bobs 2014 zilizoandaliwa na Deutsche Welle wametangazwa! Miradi ya mtandao kutoka Misri, Palestina, China, India, Bangladesh, Ukraine walichaguliwa kama washindi na baraza la waamuzi la...
Flipboard Yaiongeza Global Voices Kwenye Mwongozo wake wa Maudhui
Kuanzia mwezi huu, mtandao wa Global Voices (katika lugha tofauti) utakuwa ukipendekezwa kwa maelfu ya watu wanaotumia simu ama vifaa vinavyofanana na simu za kisasa.
Tangazo la Shindano la Kupata Ufadhili wa Rising Voices 2014

Rising Voices inatangaza kuzindua shindano la ufadhili wa miradi ya kuwafikiwa watu kwa njia ya uandishi wa kiraia. Waombaji wanaweza kutuma mawazo yao kwenye tovuti na kupata mrejesho kutoka kwenye jamii zao wenyewe, kama namna ya kuboresha maombi yao na kushirikiana na wengine. Tarehe ya mwisho kutuma maombi ni Aprili 9, 2014.