Habari kuhusu Sauti Chipukizi
Ungana nasi kwa Mkutano wa Global Voices Tunis Novemba 1
Ungana nasi kwenye mkutano wa Global Voices nchini Tunis Novemba 1, 2014 kuanzia saa 3 asubuhi mpaka saa 7 mchana kwenye Maabara ya 404.
Namna Teknolojia Inavyosaidia Watu Kujifunza —na Hata Kuokoa—Lugha za Dunia
Waleta mabadiliko sasa wanatumia nguvu ya teknolojia kujaribu kuziokoa lugha zilizo kwenye hatari ya kupotea, na kwa nadra, kuzifufua lugha zilizokwisha kufa.
Mazungumzo ya GV: Namna ya kushinda Ufadhili wa Miradi Midogo ya Rising Voices
Je, unalo wazo la kuisaidia jamii yako kusimulia habari zao kupitia mitandao ya kijamii? Kwenye Mazungumzo ya GV timu ya Mradi wa Rising Voices inajadili namna bora ya kushinda shindano la ufadhili wa miradi midogo
Tangazo la Shindano la Kupata Ufadhili wa Rising Voices 2014
Rising Voices inatangaza kuzindua shindano la ufadhili wa miradi ya kuwafikiwa watu kwa njia ya uandishi wa kiraia. Waombaji wanaweza kutuma mawazo yao kwenye tovuti na kupata mrejesho kutoka kwenye jamii zao wenyewe, kama namna ya kuboresha maombi yao na kushirikiana na wengine. Tarehe ya mwisho kutuma maombi ni Aprili 9, 2014.
Wito wa Maombi ya Mradi – Ufadhili wa Maktaba za Umma wa EIFL
Maktaba za umma na zile za kijamii katika nchi zinazoendelea au nchi zenye uchumi wa mpito, zinakaribishwa kuwasilisha maombi ufadhili wa Mradi wa Kuboresha Maktaba za Umma unaoendeshwa na shirika la EIFL
Mkutano wa Global Kampala, Uganda
Mkutano wa Global Voices umepangwa kufanyika Novemba 23 jijini Kampala, Uganda, kuwaleta pamoja wanachama wa jamii hii kushirikisha mawazo.
Simulia Hadithi Yako Kupitia Programu ya StoryMaker na Ushinde €1,000
Tumia Programu tumizi ya StoryMaker kusimuliza habari zako na ushindanie zawadi ya €1,000. Hadithi zote zitakazoingizwa kwenye www.storymaker.cc zinakuwa zimeingia kwenye mashindano. Shirika la Free Press Unlimited linatafuta hadithi bora ambayo ingebaki uvunguni bila kuwa na zana hiyo ya simu za mkononi mahususi kwa ajili ya kusimulia.
Mkutano wa Global Voices Cairo, Misri
Mkutano mwingine wa Global Voices unapangwa kufanyika Novemba 16 jijini Cairo, Misri. Tafadhali shiriki na wanachama wetu wa Jumuiya ya GV kwa kusanyiko hili maalumu.
Paraguai: Kutoka Kutumikishwa Hadi Kuwa Kiongozi Mzawa.
Kutana na Margarita Mbywangi, ambaye katika umri wa miaka mitano, alichukuliwa kutoka kwa wazazi wake na kuuzwa mara kadhaa na kulazimishwa kufanya kazi za nyumbani. Tangu wakati huo amekuwa kiongozi muhimu wa kabila la Aché na hata kuwa Waziri katika nchi yake. Mbywangi sasa anasimulia maisha yake binafsi kupitia Mradi wa Rising Voices.
Gumzo la moja kwa moja kuhusu Virusi vya ukimwi na Ukimwi mtandaoni Tarehe 6 machi
Mradi wa Rising Voices na Global Voices wanaandaa gumzo la moja kwa moja mtandaoni kwa wanablogu na wanaharakati siku ya Ijumaa mwezi wa tatu mwaka huu(saa 11 jioni kwa saa za Nairobi) mada kuu ikiwa jinsi ya kublogu na kuongeza uelewa na habari kuhusu virusi vya ukimwi na Ukimwi.