Habari kuhusu Kireno
Kwa nini Cuba Iliamua Kuwaondoa Madaktari Wao 8,000 Kutoka Nchini Brazili
Havana ilitangaza kusitisha makubaliano yake na Brazil kufuatilia kauli ya rais mteule Jair Bolsonaro kuhusu mradi ambao unadaiwa "kuwa hatari na unapungua thamani yake".
Tunaelewa Nini Kuhusu Uchaguzi Mkuu Ujao Nchini Msumbiji?
Mnamo Oktoba, 2019 Msumbiji itachagua magavana wake kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo. Kabla ya uchaguzi huu, magavana hawa waliteuliwa na rais.
#MwachieniAmade: Mwandishi wa Habari Akamatwa na Kuteswa kwa Kuripoti Vurugu Kaskazini mwa Msumbiji.
Mwandishi wa Habari alikamatwa na Polisi wa Msumbiji wakati akiripoti tukio kwenye eneo la Cabo Delgado.
Simulizi la Shoga, Kijana Mweusi Aishiye Nje Kidogo ya Mji wa São Paulo, Aliyekuja kuwa Mtengeneza Filamu
"Siogopi kutengeneza video zangu na kuonesha sehemu ninayoweza kuiita nyumbani. Huu ndio ukweli wangu."
Yaliyojiri Wiki Hii Hapa Global Voices: Siasa za Pokémon Go
Kwenye kipindi cha wiki hii, tunakupeleka Iran, Japan, China, Mexico na Timor-Leste.
Shule Moja Nchini Timor-Lesté Kuwapiga Faini Wanafunzi Wanatakaoongea Lugha Rasmi ya Wenyeji
Wanafunzi ni lazima waongee Kireno wawapo shuleni. Wale ambao "hawataweza kuongea lugha hiyo" watalazimika kukaa kimya. Atakayekamatwa akizungumza lugha tofauti na Kireno "atapigwa faini".
Karibu Msumbiji, Ukutane na Serikali Inayofunga Kamera 450 Kukufuatilia
Kwa mujibu wa moja wapo ya magazeti yanayoaminika zaidi nchini Msumbiji, Canal de Moçambique, serikali imeanza kufunga kamera 450 za usalama kwenye miji ya Maputo na Matola
Jifunze Namna ya Kulinda Mawasiliano Yako ya Barua Pepe kwa Dakika Zisizozidi 30
Ulinzi binafsi wa Barua pepe , ni mwongozo wa anayetaka kujifunza kulinda barua pepe zake kwa kutumia Mfuko wa Zana Huru (FSF), uliotolewa katika lugha sita mpya [kifaransa, kijerumani, kijapani, kirusi, kireno, kituruki] mnamo Juni 30, 2014. Matoleo katika lugha nyinginezo yako mbioni kutoka. Hata kama huna cha kuficha, kutumia zana hii kunalinda faragha ya watu unaowasiliana nao,...
Flipboard Yaiongeza Global Voices Kwenye Mwongozo wake wa Maudhui
Kuanzia mwezi huu, mtandao wa Global Voices (katika lugha tofauti) utakuwa ukipendekezwa kwa maelfu ya watu wanaotumia simu ama vifaa vinavyofanana na simu za kisasa.
Brazil: Je Unamuenzi Mandela? Basi Saidia Haki za Binadamu
Bango la kuonyesha heshima kwa Nelson Mandela limechukua umaarufu usiojulikana wa kiongozi wa Afrika Kusini nchini Brazil kwa kuwaita wale ambao wanaenzi urithi wake kusaidia haki za binadamu. Ujumbe huo ulienezwa na shirika lisilokuwa la kiserikali Conectas Human Rights katika Siku ya Haki za Binadamu, Desemba 10, 2013. “Tenda zaidi...