Habari kuhusu Kiarabu kutoka Aprili, 2013
Misri: Mubarak ahukumiwa kifungo cha maisha
Dunia ilishuhudia wakati mahakama ya Misri ilipomhukumu aliyekuwa Rais wa zamani wa Misri Hosni Mubarak na Waziri wake wa Mambo ya Ndani Habib Al Adly kifungo cha maisha hivi leo kufuatia kukutwa na hatia ya kuhusika na mauaji ya waandamanaji. Hukumu hiyo ilifikiwa baada ya vikao 49, masaa 250, na kuandikwa katika kurasa 60,000.
Bahrain: ‘Kususia michezo ya Olimpiki’
Wa-Bahraini wengi wanatoa mwito wa kususuia michezo ya Olympics. Kwanza, mwana wa mfalme, ambaye amekuwa akituhumiwa kwa kujihusisha na utesaji wa wanariadha, anahudhuria michezo hiyo. Pili, sehemu kubwa ya timu ya nchi hiyo imetengenezwa na wanariadha wa ki-Afrika.