Habari kuhusu Kiafrikaana
Italia Yalaumiwa kwa Ukiukaji wa Haki za Wakimbizi wa Kiafrika
Februari 23, Mahakama ya Haki za Binadamu ya Ulaya huko Strasbourg ilikuja na hukumu ya kihistoria kwamba Italia imevujna Tamko la Ulaya la Haki za Binadamu kwa kuwazuia na kuwarudisha wakimbizi wa ki-Eritrea na Somalia kwenda Libya. Abdoulaye Bah anaripoti.
Afrika Kusini: Malema Ameng’oka, Nini Kinafuata?
Mwanasiasa na mtu ambaye husababisha utata zaidi ya wote nchini Afrika Kusini Julius Malema amesimamishwa uanachama wa chama cha ANC kwa miaka mitano. Malema anachukuliwa na mashabiki wake kama sauti ya dhati ya watu masikini wa Afrika Kusini hususani kwa wito wake kuhusu utaifishwaji wa migodi ya Afrika Kusini.