I am a graduate from the United States International University(USIU -Kenya). My profession is marketing and I have a passion of event organizing and management. I like to consider myself a people's person who appreciates the diversity of this world. I also appreciate that all work without play makes Wangari a dull girl, so I love to travel and dance as ways of venting out.
I have joined this network as I hope to make use of the Swahili knowledge I have and also to help GV meet some of its objectives. I look forward to a mutually rewarding and satisfying relationship on both sides.
My motto is:’ Passion in Everything I do’
The principle that guides me is:’ If you have to do something do it well’.
makala mpya zaidi zilizoandikwa na Victoria Munene kutoka Septemba, 2012
Mbinu za Kugundua Dawa Bandia katika Nchi Zinazoendelea
Watu 700,000 hufa kila mwaka kwa kutumia dawa bandia za malaria na saratani pekee. Shirika la Afya Duniani, WHO linasema katika ripoti yake kuwa, mapato kutoka kwa dawa hizi kila mwaka hukaribia dola bilioni 200.
Kocha Mfaransa Ateuliwa Kuongeza Bahati ya Kenya Kwenye Kandanda
Shirikisho la Kandanda nchini Kenya FKF, limemchagua Kocha mpya wa timu ya taifa la Kenya ambaye ni Mfaransa, Henri Mchel. Wanakamati hao, wana matumaini kuwa anaweza kuwa 'bahati' ya Kenya katika mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika ya 2013 na Kombe la Dunia la 2014.