makala mpya zaidi zilizoandikwa na Gloria Sizya kutoka Februari, 2019
Wafahamu Wagombea wa Kiti cha Urais Naijeria katika Uchaguzi wa 2019
Mpambano wa kuwania Ikulu ya Aso Rock — nafasi ya Urais wa Naijeria. Wafahamu wagombea wa uraisi kwenye kiti cha Rais.
Kijana wa Niger Akwama Uwanja wa Ndege nchini Ethiopia kwa Miezi Kadhaa
"Nimelala kwenye viti, wakati mwingine nimelala msikitini, sijaoga kwa miezi miwili sasa kwa sababu uwanja wa ndege hauna bafu."
Guinea Inataabika Chini ya Rais Condé Anayeungwa mkono na Urusi Kubadili Katiba Agombee Awamu ya Tatu
"Suala la nani agombee nafasi ya urais ni suala la ndani ya nchi. Na mamlaka ya nchi yako chini ya wananchi. Si kazi ya balozi kuamua mustakabali wa nchi ya Guinea."
Mpambano wa Majenerali Wastaafu wa Jeshi la Naijeria na Mchango wao Katika Uchaguzi wa Rais 2019
Olusegun Obasanjo, mwanajeshi wa zamani aliyepata kuwa mkuu wa na baadae kuwa rais wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia, amekuwa akisikika akiwakosoa watawala wa Naijeria.
Australia Waikumbuka Jumamosi Nyeusi kwa Kuadhimisha Miaka 10 ya Janga la Moto wa Nyika
"Miaka kumi kamili, na bado sidhani kama kuna siku imepita bila kuitaja – au hata kufikiria – tukio la moto"
#MwachieniAmade: Mwandishi wa Habari Akamatwa na Kuteswa kwa Kuripoti Vurugu Kaskazini mwa Msumbiji.

Mwandishi wa Habari alikamatwa na Polisi wa Msumbiji wakati akiripoti tukio kwenye eneo la Cabo Delgado.
Jumuiya ya Mashoga Nchini Guyana Yaandaa Maandano ya Kwanza Kujivunia Ushoga
"#Guyana imebaki kuwa nchi ya pekee barani Amerika Kusini ambako ushoga bado ni kinyume cha sheria. Nchini humo, pamefanyika maandamano ya kwanza ya kujivunia ushoga. Huenda hiyo ni hatua ya kuelekea kuuhalalisha ushoga..."
Polisi wa Nigeria Wamkamata Mwandishi wa Habari na Kaka Yake kwa Makala ya Gazeti Ambayo Hata Hivyo Hawakuiandika

"Polisi hawana mamlaka ya kuvamia nyumba za waandishi wa habari na kuwafungia kwa sababu tu kuna afisa wa serikali hapendi kile kilichoandikwa kwenye gazeti."