Nwachukwu Egbunike – poet and journalist – is an adjunct lecturer at the School of Media and Communication, Pan Atlantic University, Lagos, Nigeria. Egbunike's research agenda straddles social media, youth political participation, politics and ethnicity. He is the author of four books, including “Hashtags: social media, politics and ethnicity in Nigeria” and “Nka” (a collection of poems).
makala mpya zaidi zilizoandikwa na Nwachukwu Egbunike
#MatrikiUtambulisho: Mazungumzo ya Twita yanayoangazia utambulisho na haki za kidijitali barani Africa

Wanaharakati kutoka Burkina Faso, Nijeria, Afrika Kusini na Kenya, wataongoza mazungumzo kwenye mitandao ya kijamii kwa kutumia lugha zao za asili kuhusu masuala ya lugha, makabila na haki za kidijitali barani Afrika.
Mamlaka za Tanzania Zamshikilia na Kumfukuza Nchini Kiongozi wa Haki za Binadamu wa Uganda

Shirika la Haki za Binadamu Human Rights Watch linasema Tanzania imeshuhudia kushuka katika uhuru wa kutoa maoni, kukusanyika na kukutana" chini ya serikali ya sasa