Njeri W. Wanjohi is an artist, writer and digital marketer based in Nairobi, Kenya. Her work and interest lies at the intersection between the arts, technology and media.
makala mpya zaidi zilizoandikwa na Njeri Wangari
Kwa nini Kiswahili hakijawa lugha inayounganisha Afrika?
Ushawishi wa kigeni pia huenda ukatatiza “kukubalika” kwa Kiswahili. Afrika kwa sasa inategemea pakubwa China kwa msaada wa kifedha. Na kwa upande wake, China inatumia nafasi hiyo, kupenyeza lugha ya Mandarin katika nchi nyingi za Afrika, ambazo ni pamoja na Kenya.
Julai 7 yatengwa ili kusherehekea siku ya Kiswahili, mradi mpya wa kuelewa tofauti za kilahaja katika lugha hii wazinduliwa
"Umuhimu, historia na nafasi ya lugha ya Kiswahili bado havijulikani kwa watu wengi duniani na utambuzi huu unaweza kutusaidia kujifunza zaidi kuhusu lugha hii – labda inaweza pia kuwavutia watu kujifunza!"
Mpango wa kutoa chanjo ya UVIKO-19 nchini Kenya waibua matabaka ya maskini na wasiojiweza
Wafanyabiashara na wanasiasa wanapata chanjo mapema wakati Wakenya masikini na wazee wakisimama kwenye foleni ndefu.
Serikali ya Kenya Yadaiwa Kuwalipa Watumiaji Maarufu wa Mtandao ya Kijamii Kutangaza Habari za “MadaktariWalafi”
Kadri madai ya kuingiliwa kwa mitandao ya kijamii yakiongezeka, viongozi saba wa Chama cha Madaktari nchini Kenya wamehukumiwa kifungo kwa kushindwa kuzima mgomo huo unaoendelea.
Wa-Kenya Wahofia Kuzimwa kwa Intaneti Katika Uchaguzi wa Rais 2017
Kenya would be not the first country in Africa to shut down its Internet during elections -- Uganda and The Gambia have already gone this far.
Wanablogu wa Kenya Waunda Umoja; BAKE
Mnamo tarehe 25 Machi, wanablogu kadhaa wa Kenya walifanya mkutano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Nairobi, mkutano uliitishwa na BAKE (Bloggers Association KEnya). Huo ulikuwa mkutano wa 4 uliotokana na msukumo wa wanablogu wakongwe wa Kenya.
Wapiga picha wa Kiafrika, waandishi na wasanii wapata sauti zao kwenye blogu
Kadri Waafrika wengi wanavyozidi kugundua nguvu ya kublogu kama zana ya kutoa maoni kwa kiwango cha dunia nzima, tarakimu ya wanablogu imeongezeka na pia maudhui yanayopewa kipaumbele. Kwa tarakimu hiyo ya kukua kwa blogu, wasanii wengi wa Kiafrika wamejiunga, na ongezeko kubwa likionekana kwenye blogu za mashairi kama ilivyo kwa upigaji picha unaochipukia na blogu za sanaa za maonyesho. Tunazipitia baadhi.
Mwanamuziki mmoja wa Afrika Mashariki awashinda wengine wote kwa umaarufu wa mtandaoni duniani
Si wengi wanamfahamu kama Mwanaisha Abdalla bali Nyota Ndogo, ni jina linalojulikana kwenye kila nyumba katika Afrika Mashariki. Amekuwa akikusanya mashabiki wa mtindo wake wa kipekee wa Afrika Mashariki kwa miaka zaidi ya 4 sasa. Blogu yake, katika upande mwingine, imekuwa ikiendeshwa kwa muda wa miaka 3. Hapana shaka kuwa blogu hiyo imechangia ongezeko la kambi ya mashabiki kwenye mtandao wa intaneti.