Joyce Maina · Mei, 2014

makala mpya zaidi zilizoandikwa na Joyce Maina kutoka Mei, 2014

Ethiopia: #FreeZone9Bloggers Yavuma Kwenye Mtandao wa Tumblr

  24 Mei 2014

Global Voices Advocacy ilianzisha mtandao wa Tumblr mapema mwezi Mei kutafuta uungwaji mkono kwa wanablogu tisa na waandishi wa habari – ambao wanne kati yao ni wanachama wa Global Voices – ambao kwa sasa wako kizuizini nchini Ethiopia shauri ya kazi zao. Washirika kutoka duniani kote waliwasilisha picha, ujumbe wa...

Wanawake na Matumizi ya Mamlaka ya kisiasa

  17 Mei 2014

EnGenerada anauliza [es] wasomaji wake kama wana kile wanahitaji kutumia nguvu ya kisiasa. Kila siku, tunasoma, kusikia, na kusema maneno: “Siasa ni chombo cha mageuzi ya jamii”. Mawazo yetu yanapokomaa, sisi huangalia katika baadhi ya uhakika wa mazingira yetu, hizo dhana za awali ambazo tumeziingiza kwa vizazi. Wakati huo huo...

Maktaba na Utamaduni Huru

  17 Mei 2014

Blogu kutoka Parque Biblioteca Tomás Carrasquilla – La Quintana, huko Medellin, Colombia, inaelezea [es] msaada wake kwa utamaduni huru. Baada ya kueleze namna ya kuleta utamaduni wa uhuru [es], blogu hiyo inaelezea jinsi inavyoweza kufanya kazi inayofanana na maktaba: Maktaba za umma zaweza kujifunza katika uhuru huu wa kubadilishana taratibu...

Maadili na Uwazi katika Makampuni Binafsi

Watu wanazidi kudai uwazi kwa uongozi wa serikali zao. Kwa kudai uwazi, watu wanachotaka ni kuthibitisha kuwepo kwa maadili katika shughuli za serikali. Lakini, je vipi kuhusu makampuni binafsi? Ingrid Kost anadhani [es] maadili ni muhimu kama tunataka ushirika endelevu: Mahitaji ya uwazi zaidi na kuongeza uwajibikaji kwa makampuni ya...

Udikteta Umekwisha Lakini Uhuru wa Habari Bado ni Tishio Nchini Myanmar

  17 Mei 2014

Irrawaddy alisisitiza kuendelea kwa matatizo yanayowakabili waandishi wa habari nchini Myanmar licha ya mageuzi kutekelezwa na serikali …Licha ya mabadiliko yanayoonekana katika jinsi serikali inavyotumikia vyombo vya habari, mawazo ya msingi ni kiasi sawa kama siku za nyuma: Waandishi wamepewa “nafasi” zaidi za kufanyia kazi, lakini mipaka ya nafasi hizo...

‘Hali Mbaya’ ya Haki za Binadamu Nchini Vietnam

  17 Mei 2014

Mtandao wa haki za Binadamu illitoa ripoti yake ya 2013 kuhusu ‘hali mbaya’ ya haki za binadamu nchini Vietnam: …. Hali ya haki za binadamu nchini Vietnam iligeuka na kuwa mbaya mwaka 2013. Idadi ya watu waliotiwa kizuizini kwa kutoa maoni ya kisiasa yaliyo kinyume na wale wa chama tawala...

Kwa Nini Kublogu ni Tishio kwa Serikali ya Ethiopia

Beza Tesfaye anaelezea kwa nini kublogu ni tishio kwa serikali ya Ethiopia kufuatia kukamatwa kwa wanablogu tisa Ethiopia: Ninapoandika haya, Kwa uwoga nakumbushwa kwamba nchini Ethiopia, kutoa maoni yako kunaweza kukufanya uakapewa tiketi ya daraja la kwanza gerezani. Kutoka Aprili 25 hadi 26, 2014, wanablogu tisa wa Ethiopia na waandishi...