Joyce Maina · Disemba, 2013

makala mpya zaidi zilizoandikwa na Joyce Maina kutoka Disemba, 2013

Taiwan: Maandamano Dhidi ya Sheria Juu ya Usawa Kwenye Ndoa

  3 Disemba 2013

Wabunge wa Yuan nchini Taiwan walipitisha muswada wa kwanza ya “Usawa kwenye Ndoa“ [zh] mnamo Oktoba 25, 2013. Novemba 30, zaidi ya watu 300,000 walipinga muswada huu, hasa dhidi ya pendekezo juu ya ndoa za jinsia moja. J. Michael Cole, mwandishi wa habari wa kujitegemea mkaazi wa Taipei, alielezea kile...

Ufisadi: Tishio kubwa kwa uhuru wa kujieleza Barani Amerika ya Kusini

  1 Disemba 2013

Katika miaka 20 iliyopita, waandishi wa habari 670 wameuawa katika Amerika ya Kusini na Caribbean,kwa mujibu wa wajumbe kutoka muungano wa IFEX-ACL, ambayo hivi karibuni iliwasilisha Ripoti ya Mwaka juu ya Ukatili 2013 iliyosema: “Nyuso na Mabaki ya Uhuru wa Kujieleza Amerika ya Kusini na Caribbean.” Uhalifu – ambao nyingi bado...