Am a Kenyan citizen living in Nairobi. Graduated in tourism and currently working as a Tour Operator.
makala mpya zaidi zilizoandikwa na Joyce Maina kutoka Julai, 2014
Waandishi wa kimataifa Wakashifu Israeli kwa Kuendelea kwa Ujenzi wa Makazi
Waandishi kumi na sita wa kimataifa ambao walishiriki katika Tamasha la Wapalestina la Fasihi, lililofanyika katika miji kadhaa Palestina kuanzia Mei 31 hadi Juni 5, walitoa taarifa kukashifu Israeli kwa kuendelea kwa ujenzi wa makazi na kupongeza juhudi za kususia kampeni ya Boycott Divest and Sanction (BDS). Taarifa, kupitia mtandao...
Pongezi Kemkem kwa Alexander Sodiqov Kutoka Toronto, Canada
Posti hii ni sehemu ya kampeni yetu ya #FreeAlexSodiqov: Mwandishi wa GV aliyetiwa kizuizini nchini Tajikistan. Ni muda wa wiki tatu tangu mwandishi wa Global Voices Alexander Sodiqov kukamatwa mjini Khorog, Tajikistan, mke wake, Musharraf, amemwona mara moja tu. Ingawa imedhaniwa kwamba Alex – aliyekuwa anafanya utafiti wa kitaaluma wakati...
Mfungo wa Ramadhani Wawaingiza Watu Matatani kwa Kula Daku Usiku Nchini Misri
Vijana kumi na moja walikamatwa nchini Misri wakiwa wanapata daku usiku, kitendo kinachochukuliwa kuwa kosa la kukutana usiku kinyume na sheria. Noor Mattar ana taarifa zaidi kuhusu mahabusu hao wa 'kosa la kula daku' kinyume cha sheria.