Joyce Maina · Mei, 2013

makala mpya zaidi zilizoandikwa na Joyce Maina kutoka Mei, 2013

Jamhuri ya Dominika: Mwanafunzi Auawa kwenye Maandamano

Mnamo siku ya Alhamisi ya tarehe 8 Novemba, 2012, Chuo Kikuu cha Santo Domingo kiligeuka kuwa uwanja wa maandamano yanayopinga mpango wa serikali kubana matumizi. Wakati wa maandamano, polisi walisababisha kifo cha mwanafunzi wa udaktari mwenye miaka 21, William Florián Ramírez. Haikuchukua muda mrefu sakata hilo lilihamia katika mitandao ya kijamii.