Am a Kenyan citizen living in Nairobi. Graduated in tourism and currently working as a Tour Operator.
makala mpya zaidi zilizoandikwa na Joyce Maina kutoka Septemba, 2012
Kenya: Wito wa Mshikamano Baada ya Mashambulizi ya Kigaidi
Siku chache kabla ya ufunguzi wa GV2012 mjini nairobi, Kenya ilikumbwa na milipuko na utekaji nyara huko Mombasa na mjini Garissa. Mlipuko ulitokea katika sehemu ya burudani mnano Juni 24 na kuwauwa watu watatu siku moja baada ya ubalozi wa marekani kuonya mamlaka ya Kenya kuhusu mashambulizi hayo jijini. Umati huo ulikuwa umekusanyika katika kilabu kutazama robo fainali kati ya Uingereza na Italia.