makala mpya zaidi zilizoandikwa na Mghosya
Kutoka Mavumbini mpaka Ushujaa
Ambapo mhamiaji asiyeandikishwa kutoka Mali anakwea ghorofa na—ghafla—anakuwa shujaa.
Wasomaji wa Global Voices wamefuatilia nini juma lililopita?
Wakati wa Juma la kati ya Mei 7-13, 2018, habari na tafsiri zetu zimefikia watu kutoka nchi 207. Nchi ya 61 kwenye orodha? Kazakhstan. Na namba 19? Indonesia.
Jiandikishe Sasa kwa Mkutano Mkuu wa Global Voices 2017: Desemba 2-3 Jijini Colombo, Sri Lanka!
Mkutano Mkuu wa Global Voices 2017 umefunguliwa kwa ajili ya uandikishaji! Ungana nasi jijini Colombo kujadili hali ya uhuru wa mtandao, harakati za kiraia mtandaoni na haki kwenye zama za kidijitali.
Mizaha Inavyotumika Kuelewa Mapambano ya Puerto Rico na Washington
Mtandao wa Juice Media umehoji: Je, uko tayari kwa ukweli wa kiasi hiki?
Video ya Muziki Inayoigiza Utawala wa Junta Rule Nchini Thailand
Video huyo, ambayo bado ipo kwenye mtandao wa YouTube, imeenea kwa kasi mtandoani.
Hatua ya Seneta wa Ufilipino Kufanya ‘Habari Potofu’ Ziwe Jinai — Hii Haitamaanisha Kudhibitiwa kwa Habari?
"Unatofautishaje kati ya taarifa ya uongo iliyotokana na kosa la kibinadamu na ile inayosambazwa kwa nia mbaya kupitia magazeti, matangazo au mtandaoni?"
Mwanamuziki Anayeimba Nyimbo za Kupigania Haki Amechaguliwa Kuwa Mbunge Nchini Uganda
Bobi Wine azoea kuimba masuala ya kisera. Sasa amepata nafasi ya kutengeneza sera kama mbunge.
Vyombo vya Habari Tanzania Vyapotosha Mgogoro wa Serikali na Kampuni ya Madini
Mwenyekiti wa kampuni ya madini Barrick Gold amesema jambo moja, lakini vyombo vya habari vimeandika jambo tofauti kabisa.
Rais wa Tanzania Afukuza Watumishi 10,000 Kwa Madai ya Kughushi Vyeti
Uamuzi huo ni sehemu ya nia ya Rais John Magufuli kufanya mabadiliko kwenye utumishi wa umma.
Ajali ya Basi Yaua Makumi ya Watoto Kaskazini mwa Tanzania
Nchi hiyo ya Afrika Mashariki ina idadi kubwa ya ajali za barabarani barani Afrika.