makala mpya zaidi zilizoandikwa na Mghosya kutoka Julai, 2013
Obama Barani Afrika: Vita ya Kibiashara na China?
Rais Obama ametembelea bara la Afrika kwa ziara iliyokuwa imepangwa kati ya tarehe 26 mpaka Julai 3, 2013. Hivi karibuni alikuwa nchini Afrika Kusini baada ya kutembelea Senegali na baadae aliitembelea Tanzania. Wachambuzi wengi wanaoiona safari hiyo kama mpango wa kushindana , kama jaribio la Marekani kupambana na mafanikio ya kiuchumi ya China katika nchi za Afrika zilizo Kusini mwa Jangwa la Sahara.
Simulizi la Video [IsiyoHalisi] ya Kukamatwa kwa Morsi
Video inayoonyesha kile kinachoelezwa kuwa kukamatwa kwa rais wa zamani za Misri Mohamed Morsi inatembea sana mtandaoni hivi sasa. Video hiyo hiyo iliwekwa kwenye mtandao wa YouTube mnamo Mei 21, 2013 kwa kichwa cha habari "Wakati Rais Mohamed Morsi na mwanae walipokamatwa."