makala mpya zaidi zilizoandikwa na Aneth Nemes kutoka Juni, 2021
Waandishi wa habari wa vita wanaomboleza kuuawa kwa waandishi wa Uhispania nchini Burkina Faso
Mapigano baina ya makundi ya wapiganaji wa jihad yameendelea kuongezeka tangu mapinduzi ya kijeshi yaliyofanyika 2015
Wanawake wawili waliobadilisha jinsia nchini Kamerun wahukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa ‘kujaribu ushoga’
"Kuna sheria ipi inayoadhibu waliobadili jinsia kuwa wanawake kwa kosa kuvaa sketi fupi?" Hakuna mtu anastahili kifungo kwa kuhisiwa tu bila ushahidi, anasema mwanasheria wa Shakiro na Patricia.
Netflix kuonyesha filamu ya kwanza ya Angola
Dias Santana ni filamu ya Angola kwa 80% na AfrikaKusini kwa 20%
Matukio ya unyanyasaji wa kijinsia mtandaoni yaongezeka nchini Kenya
Katika mtandao wa intaneti nchini Kenya uliotawaliwa na wanaume, wanawake mara nyingi huwa walengwa wa matusi