makala mpya zaidi zilizoandikwa na Albert Kissima
Hali ya Uchafuzi wa Mazingira Kathmandu Imefanya Miungu Kuvikwa Barakoa
Kiwango cha Uchafuzi jijini Kathmandu kimezidi kiwango cha chini kinachokubaliwa huku wakazi wa jiji hili wakikabiliana na hali kwa kujizuia kwa mabarakoa, kama ilivyo kwa sanamu za watu maarufu zilizomo jiji humo.
Mwanablogu wa Algeria Merzoug Touati Anaweza Kutumikia Jela Miaka 25 Kwa Kufanya Mahojiano na Afisa wa Israel Kupitia Mtandao wa You Tube
Mahojiano yake yanahusu tuhuma za serikali ya Algeria kwamba mataifa ya nje yanachochea maandamano ya kupinga hatua iliyochukuliwa na serikali ya kubana matumizi. Mwanablogu Merzoug Touati anakabiliwa na makosa ya "kutoa taarifa za kiintelijensia kwa afisa wa mataifa ya kigeni."
Baada ya Mwanablogu Kuhukumiwa Adhabu ya Kifo, Kesi yake Kusikilizwa na Mahakama Kuu ya Nchini Mauritania
Mwaka 2014, Ould Mkhaitir alikamatwa na kuhukumiwa kwa kosa la "uasi wa dini" kufuatia kuchapisha maoni yake katika makala aliyozungumzia mfumo kandamizi wa kimatabaka wa nchini Mauritania.
Jeshi la Nchini Thailand Lawaruhusu Watoto Kucheza na Bunduki halisi, Vifaru na Helikopta za Kijeshi
"Tunawawezesha watoto walifahamu vyema jeshi pamoja na zana zinazotumiwa. Kwa uzoefu wanaoupata, wanajifunza kulipenda jeshi na hata kuwa wanajeshi hapo baadae."
Serikali ya Ethiopia Yamshikilia Mwanablogu wa Zone9 Befeqadu Hailu kwa Kigezo cha ‘Hali ya Hatari’
Hailu alitarifiwa kuwa kukamatwa kwake kulisababishwa na mahojiano aliyoyafanya na Idhaa ya Amerika katika lugha ya Kiamfariki kuhusu hali ya hatari iliyotangazwa nchini Ethiopia.
Hofu ya Mkono wa Sheria? Kujitafutia Uhuru? Raia wa Gambia Wahoji Nchi yao Kujiondoa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai
"Kikwazo!! #Gambia yajiondoa ICC. Hii ni kutokana na hofu ya dikteta kwamba waziri wake wa ndani wa zamani atamponza katika kupata hifadhi"
Mazungumzo ya GV: Hisia Zetu Siku Sita Kabla ya Uchaguzi wa Marekani
Tukiwa tumebakiza siku sita kabla ya uchaguzi na kabla ya kumalizika kwa minyukano ya kampeni, kila mmoja anaisubiria siku ya uchaguzi kwa bashasha.
Morocco Yaondoa Vikwazo Dhidi ya Vitumizi vya VoIP Kuelekea Kongamano la Tabia Nchi la Umoja wa Mataifa.
"Ili kukwepa kuonekana kama ni nchi ya mabavu wakati wa kongamano la tabia nchi #COP22, nchi ya Morocco imerejesha kwa muda huduma za VoIP," alitwiti mtuaji mmoja wa mtandao wa intaneti.
Kashfa Nyingine Yalikumba Kanisa la Orthodox la Nchini Urusi Kufuatia Kasisi Kuonekana na Saa Yenye Thamani ya $40,000
Kanisa la Orthodox la nchini Urusi limejikuta katika kashfa kwa mara nyingine, na kwa sasa kashfa hii inahusishwa na saa ya mkononi ya Kasisi mwandamizi wa St. Petersburg.
Colombia Vijijini kuna Mwalimu Anayezunguka na Punda Wawili, Anatembeza Vitabu kwa Ajili ya Watoto Kujisomea
"Siku moja, Mwalimu Luis aliamua kuwatwika vitabu punda wake, Alfa na Beto, na kisha kuvipeleka vitabu hivyo hadi maeneo ya vijijini kwa ajili ya watoto ambao hawakuwa na uwezo wa kuvipata vitabu hivyo"