Habari kutoka Agosti, 2021
Nanjala Nyabola ajiunga na Global Voices kuwa Mkurugenzi wa Advox

Kama mkurugenzi wa mradi wa utetezi (Advox), Nanjala ataongoza uhariri wa uandishi wa habari za Global Voices, utafiti, uanaharakati na utetezi wa uhuru wa kujieleza na haki za kidijitali na teknolojia.
Nani Jansen Reventlow na Rasha Abdulla waungia kwenye bodi ya Global Voices
Tunafurahi kutangaza kuongezeka kwa wanachama wawili makini waliojiunga na bodi yetu ya wakurugenzi