Habari kutoka Julai, 2018
Waganda Wasema Hapana Dhidi ya Kodi ya Mitandao ya Kijamii Kwa Sababu Inawanyonya Wanawake, Vijana na Maskini

Waganda wanasema #HapanaKwaKodiYaMitandaoKijamii kwa sababu iko kinyume na katiba, inaongeza umasikini, inawalenga vijana na inakuza ubaguzi katika jamii.
Wanaharakati Dhidi ya Rushwa Nchini Urusi Wafungwa kwa “Kuchochea Maandamano” kwa Walichokiandika kwenye Mtandao wa Twita

"...hapa tena tunashuhudia mkutano ukiandaliwa kwa kupitia mtandao wa Twita. Inavyoonekana wakati huu watajikuta wanamkamata kila mtu."
Waziri Mkuu wa Zamani wa Pakistan Nawaz Sharif na Binti Yake Anarudi Pakistani Akikabiliwa na Hukumu ya rushwa
"Hukumu hii ni maendeleo makubwa katika vita dhidi ya ufisadi, na kila fisadi lazima aandikwe kwenye kitabu cha walioiibia nchi."
Serikali ya Cambodia Yasema Uchaguzi Ujao Utahusisha Watu Wengi na Utakuwa Huru na Haki—Lakini Asasi za Kiraia Zinasema Vinginevyo
Serikali imevunja chama kikuu cha upinzani, kuweka vizuizi kwa waangalizi wa uchaguzi, panua udhibiti wake juu ya mitandao ya kijamii na kufungua mashtaka ya kodi dhidi ya vyombo vya habari vinavyokosoa serikali.
Ungana na Global Voices Julai 9 Kupinga Kodi ya Mitandao ya Kijamii Nchini Uganda

Uhuru unapatikana bure, hautozwi kodi. Global Voices inaunga mkono kampeni ya kupinga kodi ya matumizi ya mitandao ya kijamii nchini Uganda #NotoSocialMediaTax.
Utafiti wa Kwanza wa Kina Kuhusu Unyanyasaji wa Watoto Nchini Madagaska Unaonesha Hali Inatisha
Ripoti inasema asilimia 89 ya watoto wanadai kuathiriwa na unyanyasaji majumbani angalau mara moja wakati asilimia 30 ya vijana kinda wa kike katika Kisiwa cha Madagaska tayari wana mtoto.