Habari kutoka Julai, 2017
Mwanahabari wa Mexico Asema ‘Hapana Kwa Ukimya’
Uhuru wa wa vyombo vya habari umeendelea kukutana na changamoto inayoibuka duniani kote. Nchini Mexico, hatari ya kutoa habari imefikiwa viwango vipya. Mamlaka zenye nguvu- kuanzia kwa maafisa wa serikali,...
Kinachotokea Pale Baba na Mama Wanapokaribia Kufukuzwa Nchini Marekani
Wakati wazazi wake wakipambana wasifukuzwe, ndugu hawa wanaoishi San Diego wameamua kutumia mitandao ya kijamii kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia kugharamia matumizi ya kila siku.
Hatua ya Seneta wa Ufilipino Kufanya ‘Habari Potofu’ Ziwe Jinai — Hii Haitamaanisha Kudhibitiwa kwa Habari?

"Unatofautishaje kati ya taarifa ya uongo iliyotokana na kosa la kibinadamu na ile inayosambazwa kwa nia mbaya kupitia magazeti, matangazo au mtandaoni?"