Habari kutoka Aprili, 2016
Sheria ya Makosa ya Mtandao Tanzania Inafanya Iwe Hatari ‘Kumtukana’ Rais Kwenye Mtandao wa Facebook

Mtumiaji wa mtandao nchini Tanzania Isaac Habakuk Emily anatuhumiwa kuchapisha ujumbe wenye utata kwenye mtandao wa Facebook 'akimtukana' rais wa Tanzania
Zoezi la Upigaji Kura Mtandaoni kwa Tuzo za Blogu za Kenya 2016 Laendelea
Tuzo za Blogu Kenya zinakusudia kuwatambua na kuwatuza wanablogu mahiri wa ki-Kenya.
Mwanablogu wa Irani Agoma Kula kwa Siku 18, Afya Yake Yazorota Akipambana Kudai Uhuru

Mwanaharakati na mwanablogu wa kupinga kudhibitiwa kwa habari Hossein Ronaghi Maleki amekuwa kwenye mgomo wa kula tangu Machi 26, na afya yake inaendelea kuzorota kwa kasi
Hivyo Ndivyo Afrika Ilivyo-Twiti Mwaka 2015
Naijeria, Afrika Kusini, Ethiopia, Burundi na Misri zilikuwa na mazungumzo makali zaidi ya kisiasa kwenye mtandao wa Twita.
Yaliyojiri Wiki Hili Global Voices: ‘Nyaraka za Panama’ ni Kitu Gani?
Katika kipidni hiki, hedhi zatumika kisiasa nchini Poland, wa-Chile wenye asili ya Afrika wadai kutambuliwa nchini Chile, na wadhibiti mtandao nchini China wanafanya juhudi za kuondoa nyaraka za Panama -- hata ikibidi kwenye barua pepe.
Liberia Kukabidhi Elimu ya Msingi kwa Mwekezaji Binafsi wa Kimarekani
"Kuzifikiria shule kama sehemu tu ya kujifunza kusoma yaweza kuwa wazo la manufaa katika nchi ambayo watoto wake wengi hawawezi kufikia angalau hatua hiyo."
Raia wa Iraqi Aliyefanya Kazi ya Ufasiri kwa Jeshi la Marekani Akwama Ugiriki
Umoja wa Ulaya unajiandaa kuwarudisha maelfu ya wakimbizi nchini Uturuki. Mmoja wapo ni kijana aliyefanya kazi na Jeshi la Marekani nchini Iraq.
Yafanyike Mashambulizi Mangapi Dhidi ya Watalii Ili Afrika Magharibi Iandae Mkakati wa Pamoja wa Kikanda?

"Hatari haipo mbali kama tunavyoweza kufikiri. . . . Na pia, mashambulizi yana nafasi ndogo sana kuhusu amani ya ndani au uhusiano kati ya makundi ya kidini."