Habari kutoka 28 Oktoba 2016
Urusi Inadaiwa Kuwa na Mpango wa Kuufungia Mtandao wa LinkedIn

LinkedIn, mtandao mkubwa zaidi unaowaunganisha wataalaam duniani kote, uko hatarini kufungiwa nchini Urusi, ambako wapelelezi wa serikali wamefanikiwa kuishawishi mahakama moja mjini Moscow kuufungia mtandao huo.