Habari kutoka 3 Machi 2016
Mchora Katuni Snoggie Achambua Siasa za Uganda kwa Kutumia Ucheshi
Snoogies, mchora katuni wa Uganda, anatumia sanaa na vichekesho kuchambua masuala ya siasa za nchi hiyo
Wachoraji Wazindua Kampeni ya Mtandaoni Kushinikiza Uhuru wa Vyombo vya Habari nchini Malaysia

"Tunaona kuwa muda umewadia kwa raia wa Malasia kudai uhuru wa vyombo vya habari na utumiaji wa mtandao wa intaneti kufuatia matukio ya kukandamiza uhuru wa vyombo vya habari nchini Malasia"