Habari kutoka 28 Juni 2015
Abel Wabela: “Kupambana na Hali ya Kutokuchukua Hatua na Kutojali…Hii Ndio Nia Yangu Kama Mwanadamu”

"Maangalizo, vitisho, kukamatwa na mateso hakujanifanya kuacha kutumia haki zangu za msingi za kujieleza," anasema Abel Wabela, mmoja wa wanablogu wa Zone9 wa nchini Ethiopia ambao walifungwa gerezani tangu Aprili 2014.