Habari kutoka 19 Aprili 2015
Mwizi Akamatwa, Aomba Msamaha na Kusamehewa
Labda alidhani ingekuwa vyepesi kuiba shampoo mali ya mmiliki wa duka nchini Peru, lakini mambo yalimwendea mrama mwizi huyu. Mtu mmoja akiwa ameongozana na mwenzake waliingia kwenye duka lililoko kwenye jiji la Huancayo nchini Peru, wakisema walikuwa wanataka kununua pombe, na mmiliki alipokuwa amepumbazwa kidogo, jamaa walibeba boksi la shampoo....
Kudhibitiwa kwa Sanaa ya Michoro ya Uchi Kuna Maana Gani Kwetu na Mitandao ya Kijamii?
Makala haya ni sehemu ya kwanza ya mfululizo unaoangazia namna tofauti za ufuatiliaji wanazokabiliana nazo wasanii mtandaoni. Msingi wetu utakuwa uzoefu wa msanii wa Venezuela Erika Ordisgotti.
Muswada wa Uhalifu wa Mtandaoni Unawapa Mamlaka Zaidi Polisi, Kuliko Wananchi
Wapinzani wakuu wa muswada huo kutoka kwenye asasi za kiraia wanasema wataipeleka serikali mahakamani kama rais ataidhinisha muswada huo kuwa sheria.