Habari kutoka 15 Aprili 2015
Namna ya Kuwafanya Wagonjwa wa Ebola Waone Nyuso za Wahudumu Wao Nchini Liberia
Fikiria kuwa hospitalini ukiugua maradhi yanayochukua maisha ya watu wnegi na huwezi kuona nyuso za wale wanaokuhudumia. Hicho ndicho kile ambacho Mary Beth Heffernan alijaribu kukibadili.
Upigaji Kura Unaendelea Tuzo za Blogu Nchini Kenya 2015
Sehemu ya kupiga kura kwenye Tuzo za Blogu Nchini Kenya inaendelea mpaka Aprili 30, 2015: Tuzo za Blogu Nchini Kenya hutafuta kuwatuza wanablogu wanaoandika mara kwa mara, wanaoandika madhui yanayosaidia, na wenye ubunifu na ugunduzi. Tuzo hizi ni jitihada za Chama cha Wanablogu Kenya (BAKE) katika kukuza ubora wa maudhui...