Habari kutoka Februari, 2015
Boko Haram Yaua Watu Wasiopungua 81 Huko Fotokol, Cameroon Kaskazini
Mnamo Februari 4, Boko Haram walifanya shambulio baya kwenye mji wa Fotokol Kaskazini mwa Cameroon, baada tu ya kuvuka mpaka wa Naijeria. Mamia wa raia wanahofiwa kupoteza maisha 81 wamethibitika kufa na Wizara ya Ulinzi. Shirika la Haki za Binadamu nchini humo linaamini kwamba karibu watu 370 wameuawa. Mashuhuda wa...
Raia wa Jordan Washitushwa na Video ya Mauaji ya ISIS, Wamkumbuka Mwanajeshi Aliyeuawa Kishujaa
Muonekano wa kutisha wa video ya mauji ya Rubani wa Jordan imewashitua wengi, lakini baadhi ya watu hawakukubali kuruhusu propaganda za ISIS za kuharibu kumbukumbu nzuri ya shujaa huyu aliyeuawa.
Wafilipino Wauliza ‘Rais Yuko Wapi?’ Baada ya Kutokuonekana Kwenye Mapokezi ya Polisi Waliouawa
Polisi arobaini na wanne walipoteza maisha yao kwenye operesheni maalum ya kumkamata mtu anayedaiwa kuwa mhusika mkuu wa mabomu ya Bali ya mwaka 2002. Rais Aquino alihudhuria uzinduzi wa kiwanda cha magari badala ya kupokea miili ya polisi hao
Baada ya Miaka 29 Madarakani, Rais wa Uganda Museveni Hana Mpango wa Kung'atuka
"Kwa hiyo ni rasmi. Hakuna demokrasia nchini Uganda. Museveni na Jeshi lake ndio kila kitu."
Serikali ya Masedonia Yazuia Kupiga Picha za Maandamano kwa Kutumia Kamera za Anga
Video na picha zilizotengenezwa kwa kutumia kamera inayopaa angani zilikuwa nyenzo muhimu ya kuonesha ukubwa wa maandamano ya wanafunzi, ambayo yameitwa maandamano makubwa ya wanafunzi kuwahi kutokea nchini Masedonia tangu uhuru.