Msichana Achora Ramani ya Palestina kwa Kutumia Risasi za Israeli Alizokusanya Karibu na Nyumbani Kwao

A Palestinian girls draws the map of Palestine using Israeli bullets. Photograph shared by @Palestinianism on Twitter

Msichana wa ki-Palestina achora ramani ya Palestina kwa kutumia maganda ya risasi za Israeli. Picha imetumwa na @Palestinianism kwenye mtandao wa Twita

Picha hii inazunguka sana kwenye mitandao ya kijamii leo. Kwa mujibu wa Palestinianism, mwenye wafuasi 21,800 kwenye mtandao wa Twita:

Msichana huyu wa ki-Palestina amekusanya maganda ya risasi za Waisraeli karibu na nyumbani kwao na kuyatumia kuchora ramani ya Palestina.

Palestinianism continues:

And adds:

There is no more information available about the identity of the girl, or where in Palestine she is from.

Anza mazungumzo

Mwandishi, tafadhali jiandikishe »

Miongozo

  • Tafadhali wape heshima watumiaji wengine. Maoni yenye lugha ya chuki, matusi na mashambulizi binafsi hayataruhusiwa.