- Global Voices in Swahili - https://sw.globalvoices.org -

Kupambana na Utapiamlo Nchini Rwanda Kupitia Muziki

Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Rwanda, Afya, Chakula, Uandishi wa Habari za Kiraia

Wanamuziki maarufu wa Rwanda King James, Miss Jojo, Riderman, Tom Close, and Urban Boyz walijiunga na mapambano dhidi ya utapiamlo nchini Rwanda kupitia video ya muziki kwenye mtandao wa YouTube [1]. Video hiyo pia inapatikana kwa maandishi ya Kiswahili [2].