Habari kutoka 31 Oktoba 2014
Walidanganya Mpaka Amefariki: Serikali ya Zambia Yakiri Ugonjwa wa Rais Mauti Yalipomkaribia
Rais wa tano wa Zambia, Michael sata, alifariki Oktoba 28, 2014. Wa-Zambia wanahoji uamuzi wa serikali hiyo kushindwa kuliambia taifa ukweli wa afya yake.