Habari kutoka 29 Oktoba 2014
Wakati Taiwani Ikifikiria Usawa wa Haki ya Ndoa, Maelfu Wahudhuria Matembezi ya Mashoga
Matembezi ya watu wenye mapenzi ya jinsia moja yamefanikiwa mwaka huu huko Taiwani. Wapenzi wawili mashoga katika hali ya kujawa matumaini walivaa fulana zenye ujumbe kuwa wanajiandaa kuoana