Papa Francis Kutembelea Eneo Lililokumbwa na Kimbunga cha Haiyan Nchini Ufilipino
· Imeandikwa na Mong Palatino Imetafsiriwa na Mghosya
Mada za Habari: Asia Mashariki, Ufilipino, Dini, Uandishi wa Habari za Kiraia
imezinduliwa [2]. Papa Francis atatembelea jiji la Manila ma Tacloban. Tacloban ndiko lilikotokea janga la Kimbunga cha Haiyan kilichochukua maisha ya watu 6,000 kwenye mkoa wa Visayas Kusini. Ukiachilia mambo Timor Leste, Ufilipino ni nchi pekee yenye wa-Katoliki wengi barani Asia.
Nembo na tovuti rasmi inayohusiana na ziara ya Papa Francis nchini Ufilipino mwezi Januari 2015 tayari