- Global Voices in Swahili - https://sw.globalvoices.org -

Papa Francis Kutembelea Eneo Lililokumbwa na Kimbunga cha Haiyan Nchini Ufilipino

Mada za Habari: Asia Mashariki, Ufilipino, Dini, Uandishi wa Habari za Kiraia

Official logo for the papal visit to the Philippines in 2015 [1]

Nembo rasmi ya ziara ya Papa mtakatifu nchini Ufilipino mwaka 2015

Nembo na tovuti rasmi inayohusiana na ziara ya Papa Francis nchini Ufilipino mwezi Januari 2015 tayari imezinduliwa [2]. Papa Francis atatembelea jiji la Manila ma Tacloban. Tacloban ndiko lilikotokea janga la Kimbunga cha Haiyan kilichochukua maisha ya watu 6,000 kwenye mkoa wa Visayas Kusini. Ukiachilia mambo Timor Leste, Ufilipino ni nchi pekee yenye wa-Katoliki wengi barani Asia.