Habari kutoka 23 Septemba 2014
Kimbia! Waislamu Wanakuja!
Mtazamo wa vyombo vikuu vya habari mara nyingi unaonesha “Waislamu” wenye sura moja kubwa, ambayo haikosi kuwa na ghasia. Kwenye kichekesho hiki kisicho na maana yoyote, Mchekeshaji wa ki-Pakistani Sami Shah anakuletea makundi makuu ya “waislamu”.
Ebola Haijafika Gambia, na Watu Wanashughulika Kuhakikisha Hali Inabaki Kuwa Hivyo
Watu 1,600 wamepoteza maisha tangu kulipuka kwa maradhi ya Ebola. Nchini Gambia, kampeni inaendelea kwenye mitandao ya kijamii pamoja na wimbo maalumu wa kujaribu kuelimisha watu kuhusiana na maradhi hayo
Uchafu Kutoka Viwandani Waua Mamia ya Ndege wa Porini Nchini Mongolia
Zaidi ya ndege wa majini 500 wameonekana wakiwa wamekufa katika eneo la maziwa nchini Mongolia tangu kuanza kwa majira ya kipindi cha joto kutokana na maji kuchafuliwa. Maji hayo machafu, kama ilivyotaarifiwa na wafugaji wa maeneo hayo, maji haya yaliyochanganyikana na taka sumu yalitoka katika eneo la viwanda. Annie Lee...