Raia wa Indonesia walikusanyika [1] katikati ya Jakarta, mji mkuu wa nchi hiyo, kuwasha mishumaa 1,000 kupinga mashambulio ya Israel katika ukanda wa Gaza. Indonesia ni moja ya nchi maarufu zaidi kwa wingi wa waumini wa dini ya Kiislam.
Wa-Indonesia Wawasha Mishumaa Elfu Moja Ishara ya Amani kwa Palestina
· Imeandikwa na Mong Palatino Imetafsiriwa na Mghosya
Mada za Habari: Asia Mashariki, Indonesia, Maandamano, Siasa, Uandishi wa Habari za Kiraia