Habari kutoka Julai, 2014
Mitandao ya Kijamii Yasaidia Kuikoa Côte d'Ivoire Iliyokumbwa na Mafuriko
Abidjan na maeneo mengine ya Côte d'Ivoire yamekumbwa na mafuriko makubwa katika majuma kadhaa yaliyopita [fr]. Wakazi wa maeneo husika walijipanga kwenye mitandao ya kijamii ili kusaidia namna ya kuwaokoa wananchi waliokuwa wamekwama kwenye janga hilo. Kwenye mtandao wa twita na facebook, #CIVSOCIAL ilikuwa ni alama ishara iliyokuwa ikitumika kwa...
Mjadala Kuhusu Upatikanaji wa Mtandao wa Intaneti Wazidi Kushika Kasi Nchini Cuba
Raia wa nchini Cuba waendelea kudai kupunguzwa kwa gharama za mtandao wa intaneti pamoja na urahisi wa upatikanaji wake.
Jifunze Namna ya Kulinda Mawasiliano Yako ya Barua Pepe kwa Dakika Zisizozidi 30
Ulinzi binafsi wa Barua pepe , ni mwongozo wa anayetaka kujifunza kulinda barua pepe zake kwa kutumia Mfuko wa Zana Huru (FSF), uliotolewa katika lugha sita mpya [kifaransa, kijerumani, kijapani, kirusi, kireno, kituruki] mnamo Juni 30, 2014. Matoleo katika lugha nyinginezo yako mbioni kutoka. Hata kama huna cha kuficha, kutumia zana hii kunalinda faragha ya watu unaowasiliana nao,...
Nchini Tunisia, Swali ni Ikiwa ni Lazima Kupiga Kura au Kugomea Uchaguzi
Kadri uchaguzi unavyokaribia nchini Tunisia, watumiaji wa mtandao wanajadili ikiwa uchaguzi huo unastahili kupewa heshima ya kura zao ili kuwachagua wabunge na rais
Misri Yapandisha Bei ya Mafuta Hadi Asilimia 78
Wamisri watumiao mtandao wamekasirishwa na ongezeko la bei ya mafuta, hatua ambayo wanasema itasababisha kupanda kwa gharama za usafiri, chakula na hata huduma nyingine za jamii.
Mambo Matano Unayopaswa kuyajua Kuhusu Harusi za Kitukimeni
Kama ulikuwa unafikiri kuchagua Turkmenistan kama nchi ya kufanyia harusi yako, unapaswa kufahamu jambo moja -linapokuja suala la kusherehekea harusi. Watukimeni huwa hawabahatishi.
Mazungumzo ya GV: Kura ya Maoni Inayoongozwa na Raia wa Hong Kong Kuhusu Haki ya Upigaji Kura
Jifunze kuhusu zoezi la kura ya maoni iliyoongozwa na raia wa Hong Kong kwenye mazungumzo yetu ya moja kwa moja na Oiwan Lam, Mhariri wetu wa Global Voices China.
Je, Tunaweza Kuwasaidia Wazee kwa Kuwakumbatia? Kampeni hii ya India Yasema ‘Ndio!’
Kampeni ya KUKUMBATIA inafanya kazi kuunganisha pengo ya umri kati ya vijana na wazee katika juhudi za kupunguza hali ya kuwatenga wazee nchini India.
Udhalilishaji wa Kijinsia wa Watoto Wanaotalii Asia ya Mashariki
Mradi wa Nguzo ya Kuokoa Utoto, uliobuniwa na serikali ya Australia, umezinduautafitiukosefu wa msaada wa kijamii, elimu, furasa na ulinzi” kwa kuendelea kwa vitendo vya kuwadhalilisha watoto. Utafiti huo pia umeonyesha namna kusafiri na utalii “ni hatari nyingine inayochangia shida za kudhalilishwa zinazowakumba watoto.” Utafiti huo ulihusisha nchi za Thailand,...
Namna Teknolojia Inavyosaidia Watu Kujifunza —na Hata Kuokoa—Lugha za Dunia
Waleta mabadiliko sasa wanatumia nguvu ya teknolojia kujaribu kuziokoa lugha zilizo kwenye hatari ya kupotea, na kwa nadra, kuzifufua lugha zilizokwisha kufa.