Brigedi ya Palestina ya Al Qassam, tawi la kijeshi la Hamas, lilionyesha miundo mitatu ya madege ya kijeshi leo, ikisema kuwa yalirushwa kwenye anga la Israel.
Mwandishi Dima Khatib anatwiti:
Al Qassam Brigades say they made 3 models of Ababil drones: A1A, A1B, A1C. Pic v @QudsN [1] of A1B during a mission pic.twitter.com/sTfW0bVS98 [2]
— Dima Khatib أنا ديمة (@Dima_Khatib) July 14, 2014 [3]
Brigedi ya Al Qassam inasema walitengeneza aina tatu za madege ya kijeshi ya Ababil: A1A, A1B, A1C picha @QudsN [1] ya A1B wakati wa zoezi hilo la kijeshi
Madege hayo, yaliyotengenezwa Palestina, yanaitwa Ababil [4] – jina la ndege waliotajwa kwenye Quran tukufu, walioilinda Mecca wakati wa vita na Yemen mwaka 571.
Mwanablogu wa Gaza Jehan Alfarra aliandika:
#Israel [5] shocked at the use of Palestinian drones by Palestinian Resistance in #Gaza [6]! So are weee #GameOfDrones [7] مرمطناهم
— Jehan Alfarra (@palinoia) July 14, 2014 [8]
Nimeshangazwa na matumizi ya madege ya kijeshi yanayofanywa na Mamlaka ya Palestina kwenye ukanda wa Gaza. Tuko kwenye hatari