Habari kutoka 19 Julai 2014
Miezi Michache Baada ya Kupotea kwa MH370, Kuanguka kwa Ndege Nchini Ukraine Kwawashitua Raia wa Malasia
Mhudumu wa ndege wa Malaysia aelezea katika Instagram na Twita kuhusiana na watu wengi kupoteza maisha katika matukio ya ajali za ndege za Malaysia: "Katika kipindi cha miezi minne niliwapoteza marafiki zangu takribani 30."
Wanablogu wa Zone 9 Washitakiwa kwa Ugaidi Nchini Ethiopia
Wanablogu tisa na waandishi, wanne wao wakiwa wanachama wa Global Voices, wamekana mashitaka yao na wanajiandaa kwa utetezi kesi itakaposikilizw atena Agosti 8.
Televisheni ya Taifa Urusi Yahariri Wikipedia Kuibebesha Ukraine Lawama kwa Kuanguka MH17

Mtu mmoja wa televisheni ya Taifa Urus, VGTRK, amehariri makala ya kamusi elezo ya Wikipedia kuhusu kuanguka kwa ndege ya Malaysia MH17 ili kuibebesha Kyiv lawama.