- Global Voices in Swahili - https://sw.globalvoices.org -

Twiti za Moja kwa Moja za Kesi Dhidi ya Mwanasheria wa Haki za Binadamu na Mwandishi wa Habari Nchini Swaziland

Mada za Habari: Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara, Swaziland, Haki za Binadamu, Sheria, Siasa, Uandishi wa Habari za Kiraia

MISA-Swaziland anatwiti moja kwa moja [1] mwenendo wa mashitaka dhidi ya mwanasheria wa haki za binadamuThulani Maseko na mwandishi wa habari Bheki Makhubu bila ruhusa ya mahakama nchini Swaziland. Wawili hao walikamatwa [2] mnamo Machi 17, 2014.