Mamia ya wakazi wa Guangzhou jana mchana walikusanyika huko Sanyuanli kupinga hatua ya polisi ya kutaifisha mali binafsi za watu kwenye bohari kama sehemu ya harakati za kukabiliana na majanga ya moto. Waandamanaji walijikuta wakikabiliana vikali na polisi, na baadae, wakati wa vurugu hizo, waandamanaji walifikia hatua ya kupindua magari ya polisi. Charles Liu kutoka nanfang.com anayo habari kamili [1].
Maandamano Makubwa Yafanyika huko Guangzhou, China
· Imeandikwa na Oiwan Lam Imetafsiriwa na Albert Kissima
Mada za Habari: Asia Mashariki, China, Habari za Hivi Punde, Maandamano, Sheria, Uandishi wa Habari za Kiraia