8 Juni 2014

Habari kutoka 8 Juni 2014

Tovuti 50 Zilizotembelewa Zaidi Nchini Kenya

Je, unajua ni tovuti gani maarufu zinazotembelewa zaidi nchini Kenya? Soka posti ya James Wamathai kwenye blogu yake kufahamu zaidi: Mengi yamebadilika tangu mwezi Januari, wakati nilipotoa orodha ya tovuti maarufu zaidi nchini Kenya. Tovti ya Budget airline Jambo Jet ilizinduliwa, gazeti linalomilikiwa na kampuni ya NMG liitwalo Nairobi News...

Umuhimu wa Hisabati katika Elimu

  8 Juni 2014

Carlos Thompson wa blogu ya Chlewey anaandika [es] juu ya umuhimu wa kufundisha Hesabu nchini Colombia kutokana na nchi hiyo kufanya vibaya kwenye vipimo ya kimataifa vya ubora wa elimu [es]: Las matemáticas dan mucho más que la capacidad de contar las vueltas en una tienda; o las destrezas específicas...