Wakati Waziri Mkuu wa zamani Morgan Tsvangirai akifukuzwa na chama chake cha Movement for Democratic Change (MDC) kufuatia mgogoro wa uongozi ndani ya chama hicho, wa-Zimbabwe waliingia kwenye mtandao wa Twita na kutaniana kuhusiana na tukio hilo huku wengine wakiliita kuwa ni ‘janga la mwaka’.
Waasi ndani ya chama hicho wakiongozwa na Katibu Mkuu wa MDC Tendai Biti walimsimamisha Morgan Tsvangirai na vigogo wengine kwa tuhuma za kuzuia mabadiliko ya uongozi [1]na kushindwa kumng'oa rais Robert Mugabe. Tsvangirai anasema [2] kwamba yeye bado ni kiongozi wa chama hicho.
wa-Zimbabwe, wanaojiita “Twimbo”, walikuwa na kibarua cha siku nzima wakijaribu kupendekeza jina la kitabu cha kufikirika kumhusu Tsvangirai, na majina mengi yaliyopendekezwa yalikuwa ni utani mtupu.
@fingerray alianzisha majadiliano kwenye mtandao wa Twita yaliyowahamasisha Wazimbabwe kuwa wabunifu zaidi katika kujibu chemsha bongo hiyo:
#Twimbos [3] I dare u to come up with a #TitleforMorgansBook [4] after ths mess @SirNige [5] @263Chat [6] @deltandou [7] @CynicHarare [8] @RangaMberi [9] @ConorMWalsh [10]
— Ray Ndlovu (@fingerray) April 30, 2014 [11]
Ninawapa chemsha bongo ya kupendekeza jina la kitabu cha Morgan baada ya balaa lililomkumba
Akitumia filamu ya “12 Years a Slave” na kipindi cha Tsvangirai akiwa kigogo wa MDC, @fingerray alitwiti:
@phirimarko [12] @SirNige [5] @263Chat [6] @deltandou [7] @CynicHarare [8] @RangaMberi [9] @ConorMWalsh [10] @nematombo [13] @teldah [14] @cchabikwa [15] @ChrisNqoe [16] 15 years a slave
— Ray Ndlovu (@fingerray) April 30, 2014 [17]
Kiitwe miaka 15 ya utumwa
Akaandika tena:
@fingerray [18] @SirNige [5] @263Chat [6] @deltandou [7] @CynicHarare [8] @RangaMberi [9] @ConorMWalsh [10] #titleformorgansbook [19] They said I was like Mandela
— John-Paul Matenga (@jpmatenga) April 30, 2014 [20]
Waliniambia ninafanana na Mandela
@ConorMWalsh akapendekeza:
@fingerray [18] @263chat [6] @cchabikwa [15] @chrisnqoe [16] @cynicharare [8] @deltandou [7] @phirimarko [12] @rangamberi [9] @sirnige [5] @teldah [14] “A Series of Unfortunate Events”
— Conor Walsh (@ConorMWalsh) April 30, 2014 [21]
Kiitwe Mfululizo wa Matukio ya Bahati Mbaya
@phirimarko akaandika:
@fingerray [18] @SirNige [5] @263Chat [6] @deltandou [7] @CynicHarare [8] @RangaMberi [9] @ConorMWalsh [10] The Man Who Wouldn't be King
— marko phiri (@phirimarko) April 30, 2014 [22]
Jamaa Ambaye Hangeweza Kuwa Mfalme
@jpmatengaalipendekeza kitabu cha kujifunza bila msaada wa mwalimu:
@fingerray [18] @SirNige [5] @263Chat [6] @deltandou [7] @CynicHarare [8] @RangaMberi [9] @ConorMWalsh [10] #titleformorgansbook [19] how to lose friends in 10 days
— John-Paul Matenga (@jpmatenga) April 30, 2014 [23]
Namna ya kupoteza marafiki ndani ya siku 10
@__The_Duke alikuja na wazo geni:
@fingerray [18] My Lifestory:From The Frying Pan To The Fire. #TitleforMorgansBook [4]
— Guzzler (@__The_Duke) April 30, 2014 [24]
Simulizi langu: Kutoka Kula Bata Mpaka Joto ya Jiwe
@George_Ruzv aliandika:
@deltandou [7] @cchabikwa [15] @fingerray [18] @SirNige [5] @263Chat [6] @CynicHarare [8] @RangaMberi [9] @ConorMWalsh [10] @TVYangu [25] “The End.”
— GEORGE (@George_Ruzv) April 30, 2014 [26]
Mwisho wa Kila kitu
@DeltaNdou akaungana na wenzake:
@cchabikwa [15] @fingerray [18] @SirNige [5] @263Chat [6] @CynicHarare [8] @RangaMberi [9] @ConorMWalsh [10] @TVYangu [25] “Being the face of the struggle & butt of every joke”
— Delta Milayo (@deltandou) April 30, 2014 [27]
“Kuwa taswira ya mapambano, na makalio ya kila masihara”
@RickyEMarima aliandika:
@ConorMWalsh [10] @263Chat [6] @CynicHarare [8] @deltandou [7] @fingerray [18] @RangaMberi [9] @SirNige [5] The Great Betrayal. Volume 2 #TitleForMorgansBook [28]
— RickyEM (@RickyEMarima) April 30, 2014 [29]
Usaliti Mkuu. Toleo la 2
@Cchabikwa alitumia jina na makao makuu ya MDC, yaitwayo Harvest House [Nyumba ya Mavuno:
@fingerray [18] @SirNige [5] @263Chat [6] @deltandou [7] @CynicHarare [8] @RangaMberi [9] @ConorMWalsh [10] @TVYangu [25] came up with #HarvestOfThorns [30]
— Cynz (@cchabikwa) April 30, 2014 [31]
Nyumba ya Miiba
@RickyEMarima alitamani jina la kitabu cha nguli wa riwaya “Things Fall Apart” lingekuwa bado halijatumika:
@ConorMWalsh [10] @263Chat [6] @CynicHarare [8] @deltandou [7] @fingerray [18] @RangaMberi [9] @SirNige [5] Too bad Things Fall Apart's already taken #TitleforMorgansBook [4]
— RickyEM (@RickyEMarima) April 30, 2014 [32]
Nasikitika kuwa Jina la “Things Fall Apart” [Mambo yameharibika] limeshatumika.
@designartistic akaandika:
#TitleforMorgansBook [4] To Kill A Morgan Bird
— Design Artistic (@designartistic) April 30, 2014 [33]
Kumwuua Ndege Aitwaye Morgan
@ChrisNqoe akapendekeza:
#TitleforMorgansBook [4] Lord of the Riggings : the return of Nikuv
— EverybodyHatesChris (@ChrisNqoe) April 30, 2014 [34]
Bwana wa Dhoruba: Kurudi kwa Nikuv